mwalimu
• 1418 Videos
Favorites
302 Views
Description
Nikulakije Vema
Wamekutandikia
maua na nguo.
Nami nakuimbia
nyimbo za furaha.
Moyo ukupendeze
kwa sifa na nyimbo
ukakutumikie
siku zangu zote.
maua na nguo.
Nami nakuimbia
nyimbo za furaha.
Moyo ukupendeze
kwa sifa na nyimbo
ukakutumikie
siku zangu zote.
Nalifungwa na mwovu:
Ukanifungua.
Nikawa nimetwezwa,
ukanitukuza.
Ukanifanya mkubwa,
ukanipa mali,
zisizo malizika,
kwa kutu na wezi
Ushike neno hili:
Umati wa Yesu,
ukiwa na huzuni,
na shida popote.
Usiogope kitu,
wokovu tayari.
Anayetufariji,
yu karibu sasa.